‘This is new Kalonzo Musyoka’ – Wiper leader declares unstoppable dream to run for presidency in 2027
Written by Inka FM on 6 February 2025
Wiper Democratic Movement (WDM) leader Kalonzo Musyoka has declared that he will vie for the presidency in the 2027 polls.
Speaking during a roundtable talk show with local radio stations on Thursday, February 6, 2025, Kalonzo said he is ready to vie to unseat President William Ruto.
He also defended himself from the watermelon tag that has been politically associated with him for a very long time. The former Mwingi North Member of Parliament further denied the accusations that his decision to vie for the presidency in 2007 denied Raila Odinga a chance to beat Mwai Kibaki.

Watermelon tag
“Siku hizi unasikia mtu akisema watermelon isipokuwa Ruto? Siku hizi watu wamejua watermelon ni akina nani, my friend. Kwa hivyo tuwache kuzungumza mambo yaliopita zamani zile. This is a new Kalonzo Musyoka ambaye yuko tayari kunyakua uongozi wa nchi ya Kenya.
“Hio mengine kusema eti kama hangesimama 2007 Raila angechukua, nani alikuwa ameenda kufanya mkutano na Mungu akajua kwamba lazima angechukua?
“That was my constitutional right because in 2007 we were in ODM-Kenya wakati tulianza muungano wa Orange Movement. Mpaka chungwa ikapasuka katikati, Raila akachukua chungwa moja na mimi nikachukua chungwa moja na nusu.
“Nobody has any right to blame. Sasa wengine wanasema ooh eti huyu hatasimama. Sasa nikisimama watasema ooh ameharibia mtu. Basi kiumane, sasa nitasimama ambaye anataka kusema nitamwaribia tukutane uko,” Kalonzo explained.
The Wiper party boss also criticized the executive, saying it has worked to gag other branches of government.
“Hata Raila mwenyewe kabla kusaidia huyu Ruto alikuwa anasema bunge lenyewe limetekwa nyara. Mahakama imetekwa nyara na executive. Hata executive wanatekana nyara wenyewe.
“Sasa hivi haujui huyu waziri Justin Muturi, wengine wanampigia kelele; utafutwa kazi ehe ehe… maajabu hayo. Kuonyesha hakuna uzoefu, hakuna ukakamavu upande wa sheria zetu,” he said.
